Jinsi ya kupata 1GB na shilingi 500 Kwa tigopesa app fanya hivi.
Usikae kinyongeee kama ndo kwanza๐ซต๐ซต๐ซต unaskia ofa hii basi cha kufanya pakua app ya tigo ujipatie GB 1 uperuzi internet na ujipatie TSh 500 kwa kufata maelekezo haya.
HATUA ZA KUFUATA
1 Download app ya TIGO PESA kisha ifungue na utafute sehemu iliyoandikwa
2 Kisha utaona pameandikwa invite & earn kisha
3.Kisha bofya apo kwenye REDEEM utapakuta ni pakijani then utajaza kama hivi hapa chini
๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Baada ya hapo utakua umepata 1GB Bure kabisa
Kisha utaona sehemu imeandikwa kama “Start Earning ”. Uta click hapo utapewa CODE yako ambayo utakuwa unawashawishi watu kutumia App ya TIGO PESA App lkn pia waweke Reedem Code yako wakiweka hiyo code yako wewe ndo unapata hizo 500Tsh kama hivi ๐๐๐๐
Sasa hii issue ni kuifanya Ushirikiano ili sote tupate zaidi mfano kama ukiweka Code ya mwenzako na yeye akajaza yako nyotee mnapata so usiwe na roho mbaya .
Kauli mbiu ya huu mchongo ni “#Jaza Nijaze"
Mpaka hapo Sina la ziada ila usikose kujoin group letu Whatsapp HOUSE OF TECHNOLOGY na